YANGA YAICHAPA MAWENZI BAO 1

Timu ya young african(YANGA) yaichapa timu ya mawenzi goli moja lililofungwa na herriter Makambo,mechi iliyokuwa na ushindani mkubwa.Mechi ilikuwa maalum ya kumuuaga nahodha wao Cannavaro ambaye anastaafu

Post a Comment

Previous Post Next Post